Description
Mukhtar al Thaaqafi aliyelipa kisasi kwa kupigana na kuwaua wale vinara wote walioshiriki katika mauaji ya mjukuu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Imam Husain pale Karbala. Kutokana na kazi yake maalum ya kulipiza kisasi hicho zilizuka habari nyingiza kupotosha kuhusu maisha yake kwa wakati ule, kwa mfano, watu walidai alitoka katika familia duni isiyostahiki kuheshimika n.k., bali yeye alitoka katika kabila tukufu la Banu Hawazin, ambapo pia walitoka watu watukufu kama utakavyoona ndani ya kitabu hiki.
| Author | Dkt M H Datoo |
|---|---|
| Cover Type | Paper Back |
| ISBN | 978 9987 17 059 3 |
| Pages | 106 |
| Translated By | Umm Zahra Gulbanu Musa |
| Year Published | 2014 |
| Publisher | Al-Itrah Foundation |

Reviews
There are no reviews yet.